LIVE PERFORMANCES

THE KILIMANJARO BAND IS PERFORMING EVERY SATURDAY FROM TEN O'CLOCK AT THE SALENDAR BRIDGE CLUB IN DAR ES SALAAM. COME AND ENJOY A WIDE VARIETY OF STYLES OF MUSIC

Kilimanjaro Band

Kilimanjaro Band

Sunday, April 14, 2013

Thursday, January 3, 2013

MKESHA WA MWAKA MPYA



Mambo yalinoga mpaka saa kumi na nusu alfajiri, ilikuwa raha tele ya mduara na nyimbo nyingine. Baada ya sita usiku  jukwaa lilivamiwa na wapenzi waliochukua nafasi kukumbatiana na wanamuziki katika kutakiana heri kwa mwaka mpya. NJENJE inawatakiwa wapenzi wote heri na fanaka katika mwaka huu wa 2013

Saturday, November 17, 2012

MDUARANIIIII SALENDER BRIDGE CLUB

Njenjeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aa Njenje kuna raha, watu wana sura za furaha, wanacheza sana, huku muziki sio kuangalia, huku utacheza tu hakuna stage show huku, muziki ukikuingia katika damu unajimwaga uwanjani Haloo haloo ya Njenjeeeeeeee Kutia Nazi Kunogaaa................... angalia mapicha we acha tu




Juma Disco

Watoto wa Magomeni haooo

Waziri, Mutuz, Kitime

Moddy Mrisho

Tanga kunani paleeeeee


Kitime na Delfe

Saturday, November 10, 2012

MSHINDI WA PILI WA EPIC BSS ASHEREHEKEA USHINDI NJENJE

Waziri na Salma

Kitime na Salma

Nyota na salma

Nyota , Salma, Waziri
Leo ilikuwa sherehe kwa Salma kufika maskani yake ya kawaida baada ya wiki kadhaa za ushindani wa Epic Bongo Star Search, ambapo aliweza kufikia kuwa mshindi wa pili. Kama kawaida alifika hapa na kuimba wimbo wa Ndugu Zangu... Congratulations Salma, ukiamua kufwata muziki utafika mbali.