THE KILIMANJARO BAND IS PERFORMING EVERY SATURDAY FROM TEN O'CLOCK AT THE SALENDAR BRIDGE CLUB IN DAR ES SALAAM. COME AND ENJOY A WIDE VARIETY OF STYLES OF MUSIC
Mambo yalinoga mpaka saa kumi na nusu alfajiri, ilikuwa raha tele ya mduara na nyimbo nyingine. Baada ya sita usiku jukwaa lilivamiwa na wapenzi waliochukua nafasi kukumbatiana na wanamuziki katika kutakiana heri kwa mwaka mpya. NJENJE inawatakiwa wapenzi wote heri na fanaka katika mwaka huu wa 2013
Njenjeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aa Njenje kuna raha, watu wana sura za furaha, wanacheza sana, huku muziki sio kuangalia, huku utacheza tu hakuna stage show huku, muziki ukikuingia katika damu unajimwaga uwanjani Haloo haloo ya Njenjeeeeeeee Kutia Nazi Kunogaaa................... angalia mapicha we acha tu
Leo ilikuwa sherehe kwa Salma kufika maskani yake ya kawaida baada ya wiki kadhaa za ushindani wa Epic Bongo Star Search, ambapo aliweza kufikia kuwa mshindi wa pili. Kama kawaida alifika hapa na kuimba wimbo wa Ndugu Zangu... Congratulations Salma, ukiamua kufwata muziki utafika mbali.